Mtume Mteule Muhammad Mustafa – 1

 25.00

  Ukizingatia kuwa ni mwangaza wa Muhammad(s.a.w) ndiyo unaotoa sababu ya uhai wa viumbe wote, haiwezekani kutenda haki (katika simulizi), kwa kutumia maneno haya dhalili, kuelezea maisha  ya kipekee na yasiyo doa, katika binadamu aliyeheshimika, ‘kipenzi’ cha Muumba.  Lakini, manufaa yasiyohesabika yanamsubiri kila mtu, kwa mazingatio ya umahiri, katika kuthubutu kuyasimulia maisha ya Mtume aliyebarikiwa, na kuzifikisha sifa zake kwa vizazi vipya. Hivyo, tutajichukulia kuwa miongoni mwa waliopewa heshima, iwapo kupitia kazi hii.

Name Range Discount
EBOOKS 5 - 9 5 %
EBOOKS 10 - 14 10 %
EBOOKS 15 - 100 15 %

Other details

SKU: FPDF-2018-A753 Categories: ,

Additional Information

Language

SWAHILI

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Mtume Mteule Muhammad Mustafa – 1”

TOP