Kiigizo Kisichokuwa Na Mfano Muhammad Mustafa

 25.00

 Mwenyezi Mungu mtukufu alimtuma mtume kuwa ni rehma ya milele kwa viumbe wote.Mtume mtukufu ndiye aliyekuwa kielelezo kamili katika kumfunda na kumlea mwanadamu kwa mifano ya kimatendo isiyokuwa na kikomo na ambayo ilishuhudiwa katika maisha yake. Bila shaka hakuna kiigizo kinachofanana nae, na mafanikio ya wanadamu ni katika kumuiga na kumfuata na kujitahidi kufungamana na shakhsia yake ikiwemo kumpenda toka nyoyoni.Mwandishi amefafanua umuhimu wa kumuiga pia ameelezea visa na hali mbalimbali za mtume mtukufu Muhammad Mustafa (s.a.w).

Name Range Discount
EBOOKS 5 - 9 5 %
EBOOKS 10 - 14 10 %
EBOOKS 15 - 100 15 %

Other details

SKU: FPDF-2018-A764 Categories: ,

Additional Information

Language

SWAHILI

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Kiigizo Kisichokuwa Na Mfano Muhammad Mustafa”

TOP