Hadithi 40 Za Watoto Pamoja Na Visa

 25.00

  Maneno ya mtume (s.a.w) yanaitwa hadithi. Mtume wetu mpendwa alituletea Qur an au maamrisho ya M/mungu. Alitufafanulia maamrisho haya kupitia hadithi zake.Kupitia maneno yake alitufundisha yale tunayohitajika kuyafanya ili tuwe wenye furaha katika maisha haya na kesho akhera.Tunatakiwa kuyasoma mara kwa mara maneno ya mtume s.a.w. Ninafahamu kuwa wengi wanapenda kusoma visa hivyo nami nimekuletea hadithi arobaini sambamba na visa mbalimbali vyenye kutufunza mbao ya dini yetu.

Name Range Discount
EBOOKS 5 - 9 5 %
EBOOKS 10 - 14 10 %
EBOOKS 15 - 100 15 %

Other details

SKU: FPDF-2018-A765 Categories: ,

Additional Information

Language

SWAHILI

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Hadithi 40 Za Watoto Pamoja Na Visa”

TOP